Ijumaa, 8 Julai 2016

KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AWASILI JIJINI MBEYA TAYARI KWA KUFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA UASKARI MAGEREZA, CHUO CHA MAGEREZA,KIWIRA HAPO KESHO JULAI 9


Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegarira akipokea Salam ya Kijeshi kutoka kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, SACP. Dhahiri Kidavashari alipowasili leo Julai 8,2016 katika Uwanja wa Ndege wa Songwe tayari kwa kufunga Mafunzo ya Awali ya Uaskari Magereza kesho Julai 9,2016 katika Chuo cha Magereza, Kiweira Mkoani Mbeya (kushoto) ni Kamishna Jenerali wa Magereza, CGP-John Casmir Minja.


Kamishna Jenerali wa Magereza, CGP-John Casmir Minja (kulia) akiwa ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Twegasira walipowasili leo jioni Julai 8,2016 katika uwanja wa Ndege wa Songwe, Jijini Mbeya (picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni