Ijumaa, 3 Juni 2016

Adhabu hii ya mabango itasaidia kupunguza au kuondoa makosa ya matumizi mabaya ya barabara??????



hao ni baadhi ya wakazi na watumiaji wa vyombo vya moto wa jijini dar es salaam wakiwa wameshika mabango yanayo onesha makosa yao yanayohusu  matumizi mabaya ya barabara, picha hizo zimekua zikizagaa katika mitandao ya kijamii hususani WhatsApp, 

Je utaratibu huu ambao kwa mara ya kwanza tunaushudia nchini Tanzania unaweza kuwafanya wakosaji kujisikia aibu na kuto rudia tena kujihusisha na makosa ya matumizi mabaya ya barabara au je picha hizo zinasaidia wengine kujifunza kupitia hao???

kama itasaidia je ni kivipi? Katika Mabango hayo tunaona vitu vifuatavyo namba ya RB, Umri, kazi, kabila,dini,eneo unaloishi na namba 
za gari






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni