![]() |
Idris Sultan |
kwa mujibu
wa taarifa ya tarehe 20.5.2016 ilizotolewa na waandaaji wa shindano la
BigBrother kupitia mtandao wa kijamii www.bigbrotherafrica.com
taarifa imeeleza kua shindano hilo ambalo lilitarajiwa kufanyika mwaka huu limeahirishwa
hadi 2017 mwakani,
huku mshindi
ambae bado anashikilia taji hilo akitangazwa kua ni Idris Sultan ambae
alijipatia kiasi cha dola laki tatu baada ya kutangazwa mshindi,
taarifa hiyo
imewataka wapenzi na mashabiki wa shindano hilo kuto poteza matumaini kwa kua
kinachofanyika ni kuboresha zaidi na kwamba wakati utakapo wadia shindano hilo
litakua katika taswira nzuri kwa washindi na wafuatiliaji (wapenzi) kwa kua
maboresho yanayofanywa ni makubwa hivyo wapenzi na wadau watarajie msisimko zaidi katika shindano lijalo.
Kwa mara ya
mwisho shindano hilo lilifanyika mwaka 2014
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni